Isaya 11
Ufalme wa Amani π― Sura ya 10 iliishia kwa Bwana kuzungumzia namna ambavyo angeshughulika na Waashuru na kuwaadhibu kwa kiburi chao. Lakini Bwana hawaachi wana masalia wake bila tumaini. Wakati Bwana angekata vichaka vya Ashuru kwa chuma kwa Israeli hali ikikiwa tofauti. Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake…